SERIKALI YAAJIRI WATUMISHI WA KADA YA AFYA.
Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetoa nafasi za ajira kwa wananchi wote waliosomea taaluma hiyo. Kwa maelezo zaidi bofya link hizi hapa chiniLINK 1. (http://www.moh.go.tz/index.php/newsroom/195-tangazo-la-ajira-kada-ya-afya-2013-2014)
LINK2. (http://www.moh.go.tz/index.php/newsroom/194-kada-za-afya-compiled-2014)
DIWANI WA C.C.M KOROGWE AJIUZULU!
Taarifa zilizozagaa ni kwamba sababu kubwa ya kukamatwa diwani huyo pamoja na mtendaji wa kijiji pamoja na Mwenyekiti wa Kijiji ni madai kuwa wamekuwa wakichochea mgogoro kati ya wanakijiji cha Mswaha darajani na wafugaji wa kabila la Wamburu.
Diwani
wa kata ya mswaha (CCM ) wilayani korogwe leo kafikishwa mahakamani
pamoja na mwenyekiti na mtendaji wa kijiji cha Mswaha Darajani kwa
tuhuma za kuchochea watu kuchoma moto mazizi ya wafugaji kata ya Mswaha.from facebook
No comments:
Post a Comment